Kijuso

Kijuso

Rayvanny
kijuso by Rayvanny featuring Queen Darleen, lyrics from Tanzania

Intro
Eyoo Laizer
Wasafi Records

Verse 1
Unaringa kitu gani we mwenyewe ujisute
Afadhali hata Nyani sio we Mwanamke
Hupendezi asilani so unyoe au usuke
Nilifuata kitu gani umefanya nijute
Hah
Mimi nakonda pungua eeeh na usikurupuke
Kwanza naongea na nani naomba nikumbushe
Mimi na wewe hatuendani jipandishe jishushe
Usinipande kichwani namba yangu ifute

Chorus
Hizo dharau mwanamke ulopata
Naona unasahau .. zako nilikata
Nimepanda chati mkataba nimekata
Tena Nyang'au ndo ukome kunifuata 

Unaringa una nini kijuso
Vijimeno kama Jini Gaucho
Kwani nawe una nini Kituko
Uso na kazi mjini Upo upo
Punguza kelele ooh kelele acha kelele mama kelele
Punguza kelele baba kelele acha kelele bwana kelele

Verse 2 
Eti nawe unavimba perfume tu mtihani
Kwanza shati ulovaa umeazima kwa nani?
Wanifuataa Kapuku utanipa nini?
Wanifuataa leo kimekuwasha nini?

Funga bakuli mbele yangu wewe mshamba
Nakujua vizuri toka unavaa mabwanga
Wakati unanuka moshi huna hata ishu
Kwenye pochi wanja na tishu

Unapenda ganda la ndizi  kuteleza
Wakati kupambana mpaka mchuzi wa Pweza
Dume zima tantalantala instagram inahu
Wakati kwenu kula kulala huchangii hata kitunguu

Chorus
Hizo dharau mwanamke ulopata
Naona unasahau .. zako nilikata
Nimepanda chati mkataba nimekata
Tena Nyang'au ndo ukome kunifuata 

Unaringa una nini kijuso
Vijimeno kama Jini Gaucho
Kwani nawe una nini Kituko
Uso na kazi mjini Upo upo

Punguza kelele ooh kelele acha kelele mama kelele
Punguza kelele baba kelele acha kelele bwana kelele
Unaringa una nini kijuso
Sijui meno kama Jini Gaucho
Kwani nawe una nini Kituko
Uso na kazi mjini Upo upo
Punguza kelele ooh kelele acha kelele mama kelele
Punguza kelele baba kelele acha kelele bwana kelele